24 Mwanamume akilala na mwanamke huyo kisha damu ya hedhi imguse,+ mwanamume huyo hatakuwa safi kwa siku saba, na kitanda chochote anacholalia hakitakuwa safi.
18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe.