Mambo ya Walawi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Usimkaribie mwanamke wakati wa hedhi anapokuwa si safi ili kufanya naye ngono.+ Mambo ya Walawi 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe.
18 “‘Mwanamume akifanya ngono na mwanamke mwenye hedhi, mwanamume huyo na mwanamke huyo wamefunua mtiririko wa damu yake.+ Ni lazima wote wawili wauawe.