2 Samweli 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Baada ya kutoka Hebroni, Daudi alichukua masuria+ na wake zaidi huko Yerusalemu, nao wakamzalia Daudi wana na mabinti zaidi.+ 2 Samweli 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi mfalme akatoka pamoja na watu wote wa nyumbani mwake, lakini mfalme akawaacha masuria kumi+ ili watunze nyumba.*
13 Baada ya kutoka Hebroni, Daudi alichukua masuria+ na wake zaidi huko Yerusalemu, nao wakamzalia Daudi wana na mabinti zaidi.+
16 Basi mfalme akatoka pamoja na watu wote wa nyumbani mwake, lakini mfalme akawaacha masuria kumi+ ili watunze nyumba.*