Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova anasema hivi: ‘Tazama, ninakuletea msiba kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ na mbele ya macho yako mwenyewe, nami nitawachukua wake zako na kumpa mwanamume mwingine,+ naye atalala na wake zako kweupe kabisa wakati wa mchana.*+

  • 2 Samweli 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi Ahithofeli akamwambia Absalomu: “Fanya ngono na masuria wa baba yako,+ aliowaacha waitunze nyumba.*+ Kisha Waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa uvundo kwa baba yako, na wale wanaokuunga mkono watapata nguvu.”

  • 2 Samweli 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme Daudi alipofika nyumbani kwake* huko Yerusalemu,+ aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha waitunze nyumba yake,+ akawaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Aliwapa chakula, lakini hakulala nao.+ Walibaki kifungoni mpaka siku walipokufa, nao waliishi kama wajane, ingawa mume wao alikuwa hai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki