7 Awali Sauli alikuwa na suria aliyeitwa Rispa,+ binti ya Aya. Baadaye Ish-boshethi+ akamuuliza Abneri: “Kwa nini ulifanya ngono na suria wa baba yangu?”+
22 Ndipo Mfalme Sulemani akamjibu mama yake: “Kwa nini unaomba Abishagi Mshunamu awe mke wa Adoniya? Huenda ukamwombea pia ufalme,+ kwa sababu yeye ni ndugu yangu mkubwa,+ naye anaungwa mkono na kuhani Abiathari na Yoabu+ mwana wa Seruya.”+