Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana ninajua kwamba utanishusha katika kifo,

      Katika nyumba ambamo watu wote walio hai watakutana.

  • Mhubiri 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Wote wanaenda mahali palepale.+ Wote wanatoka mavumbini,+ na wote wanarudi mavumbini.+

  • Matendo 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika nizungumze nanyi kwa uhuru wa kusema kumhusu Daudi kichwa cha familia, kwamba alikufa, akazikwa,+ na kaburi lake liko hapa kwetu mpaka leo.

  • Matendo 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa kuwa Daudi hakupanda mbinguni, bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova* alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume

  • Matendo 13:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa upande wake, Daudi alimtumikia Mungu* katika kizazi chake mwenyewe, akalala usingizi katika kifo, akazikwa pamoja na mababu zake, naye akaona uharibifu.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki