25 Ndipo Daudi akamwambia mjumbe huyo: “Mwambie hivi Yoabu: ‘Jambo hili lisikuhangaishe, kwa maana upanga humnyafua huyu na pia yule. Zidisheni mashambulizi dhidi ya jiji na mlishinde.’+ Nawe umtie moyo.”
20Mwanzoni mwa mwaka,* wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu+ aliwaongoza wanajeshi vitani, wakaiharibu nchi ya Waamoni; Yoabu akaenda na kuzingira Raba,+ lakini Daudi akabaki Yerusalemu.+ Yoabu alishambulia jiji la Raba na kulibomoa kabisa.+