2 Samweli 13:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Mwishowe Mfalme Daudi akatamani kwenda kumwona Absalomu, kwa maana alikuwa ametulia* baada ya kifo cha Amnoni. 2 Samweli 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Jambo hilo likamtaabisha mfalme, akapanda kwenye chumba kilicho paani juu ya lango na kulia, alikuwa akisema hivi huku akitembea: “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! Laiti ningekufa badala yako, Absalomu mwanangu, mwanangu!”+ 2 Samweli 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku hiyo ushindi* uligeuka na kuwa maombolezo kwa watu wote, kwa sababu walisikia kwamba mfalme alikuwa akimwombolezea mwana wake.
39 Mwishowe Mfalme Daudi akatamani kwenda kumwona Absalomu, kwa maana alikuwa ametulia* baada ya kifo cha Amnoni.
33 Jambo hilo likamtaabisha mfalme, akapanda kwenye chumba kilicho paani juu ya lango na kulia, alikuwa akisema hivi huku akitembea: “Mwanangu Absalomu, mwanangu, mwanangu Absalomu! Laiti ningekufa badala yako, Absalomu mwanangu, mwanangu!”+
2 Basi siku hiyo ushindi* uligeuka na kuwa maombolezo kwa watu wote, kwa sababu walisikia kwamba mfalme alikuwa akimwombolezea mwana wake.