2 Samweli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako,+ kwa sababu ulinidharau kwa kumchukua mke wa Uria Mhiti awe mke wako.’ 2 Samweli 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakasema: “Ushauri wa Hushai Mwarki ni bora+ kuliko ushauri wa Ahithofeli!” Kwa maana Yehova alikuwa ameazimia* kuvuruga ushauri mzuri wa Ahithofeli,+ ili Yehova amletee msiba Absalomu.+ 2 Samweli 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yoabu akaletewa habari hii: “Mfalme analia na kumwombolezea Absalomu.”+ Methali 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwana mpumbavu humletea shida baba yake,+Na mke mgomvi* ni kama paa ambalo haliachi kamwe kuvuja.+
10 Sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako,+ kwa sababu ulinidharau kwa kumchukua mke wa Uria Mhiti awe mke wako.’
14 Ndipo Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakasema: “Ushauri wa Hushai Mwarki ni bora+ kuliko ushauri wa Ahithofeli!” Kwa maana Yehova alikuwa ameazimia* kuvuruga ushauri mzuri wa Ahithofeli,+ ili Yehova amletee msiba Absalomu.+
13 Mwana mpumbavu humletea shida baba yake,+Na mke mgomvi* ni kama paa ambalo haliachi kamwe kuvuja.+