Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Sasa ikiwa mwanamume huyo hataki kumwoa mjane wa ndugu yake, mjane huyo anapaswa kwenda kwa wazee kwenye lango la jiji na kuwaambia, ‘Ndugu ya mume wangu amekataa kuhifadhi jina la ndugu yake katika Israeli. Amekataa kufunga nami ndoa ya ndugu mkwe.’

  • Ruthu 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa Boazi akapanda kwenda kwenye lango la jiji+ na kuketi hapo. Na tazama! yule mkombozi ambaye Boazi alimtaja+ alikuwa akipita. Basi Boazi akamwita: “Fulani wa fulani, njoo, keti hapa.” Akaja na kuketi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki