7 “Sasa ikiwa mwanamume huyo hapendezwi kumchukua mjane wa ndugu yake, mjane wa ndugu yake ataenda langoni kwa wanaume wazee+ na kusema, ‘Ndugu ya mume wangu amekataa kuhifadhi jina la ndugu yake katika Israeli. Hakukubali kufanya ndoa ya ndugu-mkwe pamoja nami.’