2 Samweli 7:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ Zaburi 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova, ninaipenda nyumba ambamo unakaa,+Mahali ambapo utukufu wako hukaa.+ Zaburi 27:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+
2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
4 Nimemwomba Yehova jambo moja—Ndilo nitakalolitafuta—Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+Ili kuutazama uzuri wa YehovaNa kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+