Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Wana wao wawili, Ahimaazi+ mwana wa Sadoki na Yonathani+ mwana wa Abiathari wako huko pamoja nao, nanyi mtawatumia wana hao kuniletea habari zote mtakazosikia.”

  • 2 Samweli 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Sasa tumeni ujumbe haraka kwa Daudi na kumwonya hivi: ‘Usikae kwenye vivuko vilivyo nyikani usiku wa leo, lakini hakikisha umevuka, usipofanya hivyo, wewe mfalme na watu wote walio pamoja nawe mtaangamizwa.’”*+

  • 2 Samweli 17:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Baada ya wanaume hao kwenda zao, walitoka kisimani na kwenda kumjulisha Mfalme Daudi. Wakamwambia: “Ondoka, uvuke haraka maji haya, kwa maana Ahithofeli ametoa ushauri dhidi yako.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki