2 Samweli 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Daudi alipofika kwenye kilele, mahali ambapo watu walizoea kumwinamia Mungu, Hushai+ Mwarki+ alikuwa mahali hapo ili kumpokea, joho lake lilikuwa limeraruka na alikuwa na mavumbi kichwani. 2 Samweli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya* Daudi, alipoingia kwa Absalomu, alimwambia hivi Absalomu: “Mfalme na aishi muda mrefu!+ Mfalme na aishi muda mrefu!”
32 Daudi alipofika kwenye kilele, mahali ambapo watu walizoea kumwinamia Mungu, Hushai+ Mwarki+ alikuwa mahali hapo ili kumpokea, joho lake lilikuwa limeraruka na alikuwa na mavumbi kichwani.
16 Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya* Daudi, alipoingia kwa Absalomu, alimwambia hivi Absalomu: “Mfalme na aishi muda mrefu!+ Mfalme na aishi muda mrefu!”