2 Samweli 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!” 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:16 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2017, uku. 29
16 Na ikawa kwamba mara Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi,+ alipoingia kwa Absalomu, Hushai akamwambia Absalomu: “Mfalme na aishi!+ Mfalme na aishi!”