2 Samweli 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mfalme Daudi alipofika Bahurimu, mtu fulani kutoka katika ukoo wa nyumba ya Sauli anayeitwa Shimei,+ mwana wa Gera, akaja kumtukana Daudi huku akimkaribia.+ 2 Samweli 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Shimei+ mwana wa Gera, Mbenjamini kutoka Bahurimu, akashuka haraka pamoja na watu wa Yuda ili kumpokea Mfalme Daudi,
5 Mfalme Daudi alipofika Bahurimu, mtu fulani kutoka katika ukoo wa nyumba ya Sauli anayeitwa Shimei,+ mwana wa Gera, akaja kumtukana Daudi huku akimkaribia.+
16 Ndipo Shimei+ mwana wa Gera, Mbenjamini kutoka Bahurimu, akashuka haraka pamoja na watu wa Yuda ili kumpokea Mfalme Daudi,