1 Mambo ya Nyakati 2:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili.+ Wana wa Seruya walikuwa Abishai,+ Yoabu,+ na Asaheli,+ wana watatu. 17 Abigaili alimzaa Amasa,+ na baba ya Amasa alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili.+ Wana wa Seruya walikuwa Abishai,+ Yoabu,+ na Asaheli,+ wana watatu. 17 Abigaili alimzaa Amasa,+ na baba ya Amasa alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.