Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alifanya kazi ya kuweka kumbukumbu.

  • 2 Samweli 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha mfalme akampa agizo hili Yoabu, Abishai, na Itai: “Mtendeeni kwa upole kijana Absalomu kwa ajili yangu.”+ Wanaume wote walimsikia mfalme akiwapa wakuu wote agizo hilo kuhusu Absalomu.

  • 2 Samweli 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo Yoabu akasema: “Sitaendelea kupoteza muda pamoja nawe!” Basi akachukua mikuki mitatu midogo* na kumchoma nayo Absalomu kwenye moyo alipokuwa angali hai akining’inia kwenye mti mkubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki