Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi kulikuwa na mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba.+ Kwa hiyo wakamwita aje kwa Daudi, na mfalme akamuuliza: “Je, wewe ni Siba?” Akajibu: “Ni mimi mtumishi wako.”

  • 2 Samweli 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wewe na wana wako na watumishi wako mtamlimia shamba lake, nanyi mtayakusanya mavuno ya shamba hilo ili watu wa nyumbani mwa mjukuu wa bwana wako wapate chakula. Lakini Mefiboshethi, mjukuu wa bwana wako, atakula chakula mezani pangu sikuzote.”+

      Siba alikuwa na wana 15 na watumishi 20.+

  • 2 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi alipokuwa amepita mbele kidogo ya kile kilele,+ Siba+ mtumishi wa Mefiboshethi+ alikuwa hapo ili kumpokea; alikuwa na punda wawili wenye matandiko, na walikuwa wamebeba mikate 200, keki 100 za zabibu kavu, keki 100 za matunda ya kiangazi,* na mtungi mkubwa wa divai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki