30 “‘Yeyote anayemuua mtu* anapaswa kuuawa kama muuaji+ ikiwa kuna ushahidi kutoka kwa mashahidi;+ lakini hakuna mtu atakayeuawa* kwa ushahidi wa mtu mmoja tu.
33 “‘Msiichafue nchi mnayoishi ndani yake, kwa sababu damu inachafua nchi,+ na hakuna msamaha kwa ajili ya damu iliyomwagwa nchini isipokuwa kwa kumwaga damu ya yule aliyeimwaga.+