Hesabu 35:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+ Kumbukumbu la Torati 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hampaswi* kuwahurumia:+ Uhai utatolewa kwa uhai,* jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.+
31 Hampaswi kuchukua fidia yoyote kwa ajili ya uhai wa* muuaji anayestahili kufa, kwa maana ni lazima auawe.+
21 Hampaswi* kuwahurumia:+ Uhai utatolewa kwa uhai,* jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.+