43 Utaniokoa kutoka kwa watu wanaotafuta makosa.+
Utaniweka kuwa kiongozi wa mataifa.+
Watu ambao siwajui watanitumikia.+
44 Watanitii watakaposikia fununu tu;
Wageni watakuja wakijikunyata mbele zangu.+
45 Wageni watakosa ujasiri;
Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.