44 Utaniokoa kutoka kwa watu wangu ambao hutafuta makosa.+
Utanilinda niwe kiongozi wa mataifa;+
Watu ambao siwajui watanitumikia.+
45 Wageni watakuja wakijikunyata mbele zangu;+
Watanitii kwa sababu ya mambo watakayosikia kunihusu.
46 Wageni watakosa ujasiri;
Watakuja wakitetemeka kutoka katika ngome zao.