2 Samweli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Daudi alimshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ mfalme huyo alipokuwa akienda kurudisha mamlaka yake katika eneo la Mto Efrati.+ Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wakoNa miisho ya dunia kuwa miliki yako.+ Zaburi 60:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+
3 Daudi alimshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ mfalme huyo alipokuwa akienda kurudisha mamlaka yake katika eneo la Mto Efrati.+
8 Moabu ni beseni langu la kuogea.+ Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+ Nitapaza sauti kwa ushindi juu ya Ufilisti.”+