Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo Yehova alifanya agano+ pamoja na Abramu, akisema: “Nitaupa uzao wako* nchi hii,+ kuanzia mto wa Misri mpaka kwenye ule mto mkubwa, mto Efrati:+

  • Kutoka 23:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nitaweka mpaka wenu kuanzia Bahari Nyekundu mpaka bahari ya Wafilisti na kuanzia nyikani mpaka kwenye Mto Efrati;+ kwa maana nitawatia wakaaji wa nchi hiyo mikononi mwenu, nanyi mtawafukuza kutoka mbele yenu.+

  • 1 Wafalme 4:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia Mto Efrati+ mpaka nchi ya Wafilisti hadi kwenye mpaka wa Misri. Walimletea Sulemani ushuru na kumtumikia siku zote za maisha yake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 18:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Daudi alimshinda Mfalme Hadadezeri+ wa Soba+ karibu na Hamathi+ alipokuwa akienda kuimarisha mamlaka yake katika eneo la Mto Efrati.+ 4 Daudi akateka magari 1,000 ya vita, wapanda farasi 7,000, na wanajeshi 20,000 wanaotembea kwa miguu.+ Kisha Daudi akawakata farasi wote mishipa ya miguu isipokuwa farasi 100 waliokokota magari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki