8 Atakuwa na raia kutoka bahari mpaka bahari
Na kutoka Mto Efrati mpaka kwenye miisho ya dunia.+
9 Wakaaji wa jangwani watainama chini mbele yake,
Na maadui wake wataramba mavumbi.+
10 Wafalme wa Tarshishi na wa visiwa watalipa ushuru.+
Wafalme wa Sheba na wa Seba watatoa zawadi.+