12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemwimarisha kabisa kuwa mfalme wa Israeli+ na kwamba alikuwa ameukweza ufalme wake+ kwa ajili ya watu Wake Waisraeli.+
9 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapoenda,+ nami nitawaangamiza maadui wako wote kutoka mbele yako;+ nami nitafanya jina lako liwe maarufu+ kama jina la watu maarufu duniani.