1 Samweli 17:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Ndipo Sauli akamuuliza: “Mvulana, wewe ni mwana wa nani?” Daudi akamjibu: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+ Mathayo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+ Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;
58 Ndipo Sauli akamuuliza: “Mvulana, wewe ni mwana wa nani?” Daudi akamjibu: “Mimi ni mwana wa mtumishi wako Yese+ Mbethlehemu.”+