Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Obedi akamzaa Yese;+ na Yese akamzaa Daudi.+

  • 1 Samweli 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mwishowe Yehova akamuuliza Samweli: “Kwa kuwa nimemkataa Sauli asitawale akiwa mfalme wa Israeli,+ utaendelea kumwombolezea mpaka lini?+ Jaza pembe yako mafuta,+ uende. Nitakutuma kwa Yese+ Mbethlehemu, kwa sababu nimejichagulia mfalme kutoka miongoni mwa wanawe.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 wa sita Ozemu, na wa saba Daudi.+

  • Mathayo 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yese akawa baba ya Mfalme Daudi.+

      Daudi akawa baba ya Sulemani+ kupitia mke wa Uria;

  • Luka 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

  • Luka 3:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 mwana wa Yese,+

      mwana wa Obedi,+

      mwana wa Boazi,+

      mwana wa Salmoni,+

      mwana wa Nashoni,+

  • Matendo 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kumwondoa, akamwinua Daudi awe mfalme wao,+ na akatoa ushahidi kumhusu akisema: ‘Nimempata Daudi mwana wa Yese,+ mtu anayeupendeza moyo wangu;+ atafanya mambo yote ninayotamani.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki