20 Basi Samweli akaagiza makabila yote ya Israeli yakaribie,+ na kabila la Benjamini likachaguliwa.+21 Kisha akaagiza kabila la Benjamini likaribie kulingana na koo zao, basi ukoo wa Wamatri ukachaguliwa. Mwishowe Sauli mwana wa Kishi akachaguliwa.+ Lakini walipoenda kumtafuta, hawakumpata.