Waamuzi 2:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Yehova, akafa akiwa na umri wa miaka 110.+ 9 Basi wakamzika kwenye eneo lake la urithi kule Timnath-heresi+ katika eneo lenye milima la Efraimu, upande wa kaskazini wa Mlima Gaashi.+
8 Kisha Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa Yehova, akafa akiwa na umri wa miaka 110.+ 9 Basi wakamzika kwenye eneo lake la urithi kule Timnath-heresi+ katika eneo lenye milima la Efraimu, upande wa kaskazini wa Mlima Gaashi.+