Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hao ndio Waisraeli walioandikishwa kulingana na koo zao;* watu wote walioandikishwa katika kambi hizo ili kuwa wanajeshi walikuwa 603,550.+

  • Hesabu 26:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Wanaume wote Waisraeli walioandikishwa walikuwa 601,730.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yoabu akampa Daudi idadi ya watu walioandikishwa. Wanaume wote wa Israeli waliojihami kwa mapanga walikuwa 1,100,000, na wanaume wa Yuda waliojihami kwa mapanga walikuwa 470,000.+ 6 Lakini hakuwaandikisha watu wa kabila la Lawi na Benjamini miongoni mwao,+ kwa sababu neno la mfalme lilimchukiza Yoabu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Daudi hakuwahesabu wale waliokuwa na umri wa miaka 20 kurudi chini, kwa sababu Yehova alikuwa ameahidi kwamba angewafanya Waisraeli wawe wengi kama nyota za mbinguni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki