Zaburi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake. Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe. Methali 5:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwovu hunaswa na makosa yake mwenyewe,Naye atashikwa na kamba za dhambi yake mwenyewe.+
16 Matatizo anayosababisha yatarudi juu ya kichwa chake mwenyewe;+Ukatili wake utaanguka juu ya utosi wa kichwa chake.
23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe.