Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+ Yehova anawachukia kabisa watu wakatili na wadanganyifu.*+ Methali 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kumwogopa Yehova hurefusha maisha,+Lakini miaka ya waovu itafupishwa.+