Zaburi 91:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniita, nami nitamjibu.+ Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+ Nitamwokoa na kumtukuza. 16 Nitamshibisha kwa maisha marefu,+Nami nitamfanya aone matendo yangu ya wokovu.”*+
15 Ataniita, nami nitamjibu.+ Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+ Nitamwokoa na kumtukuza. 16 Nitamshibisha kwa maisha marefu,+Nami nitamfanya aone matendo yangu ya wokovu.”*+