Kumbukumbu la Torati 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘Amelaaniwa mtu anayemvizia na kumuua jirani yake.’+ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’) Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana waovu na wadanganyifu hufumbua vinywa vyao dhidi yangu. Wanaongea kunihusu kwa ndimi za uwongo;+ Zaburi 109:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watoto wake* na watangetange wakiombaomba,Wakitafuta chakula katika nyumba zao zilizoharibiwa.
2 Kwa maana waovu na wadanganyifu hufumbua vinywa vyao dhidi yangu. Wanaongea kunihusu kwa ndimi za uwongo;+ Zaburi 109:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Watoto wake* na watangetange wakiombaomba,Wakitafuta chakula katika nyumba zao zilizoharibiwa.