2 Mambo ya Nyakati 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Sulemani mwana wa Daudi alizidi kuimarika katika utawala wake, na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye, akamfanya kuwa mkuu sana.+ Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Matendo maovu huwachukiza wafalme,+Kwa maana kiti cha ufalme huimarishwa kabisa kwa uadilifu.+
1 Sulemani mwana wa Daudi alizidi kuimarika katika utawala wake, na Yehova Mungu wake alikuwa pamoja naye, akamfanya kuwa mkuu sana.+