1 Wafalme 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia Mto Efrati+ mpaka nchi ya Wafilisti hadi kwenye mpaka wa Misri. Walimletea Sulemani ushuru na kumtumikia siku zote za maisha yake.+ Mhubiri 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hekima pamoja na urithi ni jambo jema na huwanufaisha wale wanaoona mwanga wa mchana.*
21 Sulemani alitawala falme zote kuanzia Mto Efrati+ mpaka nchi ya Wafilisti hadi kwenye mpaka wa Misri. Walimletea Sulemani ushuru na kumtumikia siku zote za maisha yake.+