Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakampa Abimeleki vipande 70 vya fedha kutoka katika nyumba ya* Baal-berithi,+ naye akavitumia kuwakodi watu wazembe na wahuni ili wamfuate. 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake huko Ofra+ na kuwaua ndugu zake,+ wana 70 wa Yerubaali, juu ya jiwe moja. Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali ndiye aliyeokoka peke yake, kwa sababu alijificha.

      6 Kisha viongozi wote wa Shekemu na wakaaji wote wa Beth-milo wakakusanyika pamoja na kumweka Abimeleki kuwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa, penye nguzo iliyokuwa Shekemu.

  • 1 Wafalme 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usipofanya hivyo, mara tu utakapokufa na kuzikwa pamoja na mababu zako bwana wangu mfalme, mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wasaliti.”

  • 2 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi Athalia+ mama ya Ahazia alipoona kwamba mwanawe amekufa,+ alitoka na kuangamiza uzao wote wa kifalme.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki