1 Wafalme 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Aliendelea kujenga nyumba hiyo na kuikamilisha,+ akaifunika nyumba hiyo kwa maboriti ya mierezi na safu za mbao za mierezi.+ 1 Wafalme 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Chumba hicho cha ndani zaidi kilikuwa na urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 20;+ naye akakifunika kwa dhahabu safi; akaifunika madhabahu+ kwa mbao za mierezi.
9 Aliendelea kujenga nyumba hiyo na kuikamilisha,+ akaifunika nyumba hiyo kwa maboriti ya mierezi na safu za mbao za mierezi.+
20 Chumba hicho cha ndani zaidi kilikuwa na urefu wa mikono 20, upana wa mikono 20, na kimo cha mikono 20;+ naye akakifunika kwa dhahabu safi; akaifunika madhabahu+ kwa mbao za mierezi.