Kutoka 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Utajenga madhabahu ya kufukizia uvumba;+ utaijenga kwa mbao za mshita.+ 1 Wafalme 7:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho;
48 Sulemani alivitengeneza vitu vyote vya nyumba ya Yehova: madhabahu+ ya dhahabu; meza ya dhahabu+ ya kuwekea mikate ya wonyesho;