Mhubiri 2:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nilianza kufanya mambo makubwa.+ Nikajijengea nyumba;+ Nikajipandia mashamba ya mizabibu.+ 5 Nikajitengenezea mashamba na bustani, na humo nikapanda miti ya matunda ya kila aina.
4 Nilianza kufanya mambo makubwa.+ Nikajijengea nyumba;+ Nikajipandia mashamba ya mizabibu.+ 5 Nikajitengenezea mashamba na bustani, na humo nikapanda miti ya matunda ya kila aina.