Ayubu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+Na kumletea matokeo ya njia zake. Zaburi 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova hunithawabisha kulingana na uadilifu wangu;+Hunilipa kulingana na usafi* wa mikono yangu.+