Zaburi 86:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+ Zaburi 119:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uelekeze moyo wangu kwenye vikumbusho vyako,Wala si kwa tamaa ya* kichoyo.+ 2 Wathesalonike 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bwana na aendelee kuongoza mioyo yenu ili mfanikiwe kumpenda Mungu+ na kuvumilia+ kwa ajili ya Kristo.
11 Nifundishe, Ee Yehova, kuhusu njia yako.+ Nitatembea katika kweli yako.+ Unganisha moyo wangu* ili niliogope jina lako.+
5 Bwana na aendelee kuongoza mioyo yenu ili mfanikiwe kumpenda Mungu+ na kuvumilia+ kwa ajili ya Kristo.