Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Alifanya hivyo ili watu wote duniani wajue jinsi mkono wa Yehova ulivyo na nguvu+ na ili ninyi mmwogope Yehova Mungu wenu sikuzote.’”

  • 1 Samweli 17:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Siku hii ya leo Yehova atakutia wewe mikononi mwangu,+ nami nitakuua na kukata kichwa chako; na siku ya leo nitawapa ndege wa angani na wanyama mwitu wa dunia maiti za kambi ya Wafilisti; na watu wote duniani watajua kwamba kuna Mungu katika Israeli.+

  • Ezekieli 36:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 ‘Kwa hakika nitalitakasa jina langu kuu,+ ambalo lilichafuliwa miongoni mwa mataifa, ambalo mlilichafua miongoni mwao; nayo mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitakapotakaswa miongoni mwenu mbele ya macho yao.

  • Ezekieli 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nitalifanya jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Waisraeli, nami sitaruhusu jina langu takatifu lichafuliwe tena; na mataifa yatalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+ Mtakatifu katika Israeli.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki