2 Mambo ya Nyakati 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo Sulemani akaikamilisha nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme;+ na kila kitu ambacho Sulemani alitamani moyoni mwake kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova na nyumba yake mwenyewe, alifanikiwa kukitimiza.+
11 Kwa hiyo Sulemani akaikamilisha nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme;+ na kila kitu ambacho Sulemani alitamani moyoni mwake kufanya kuhusiana na nyumba ya Yehova na nyumba yake mwenyewe, alifanikiwa kukitimiza.+