-
1 Wafalme 9:1-3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Mara tu Sulemani alipomaliza kujenga nyumba ya Yehova, nyumba ya mfalme,*+ na kila kitu ambacho Sulemani alitamani kufanya,+ 2 Yehova akamtokea Sulemani mara ya pili, kama alivyokuwa amemtokea kule Gibeoni.+ 3 Yehova akamwambia: “Nimesikia sala yako na ombi lako la kutaka kibali ulilotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba hii ambayo umejenga kwa kuliweka jina langu humu milele,+ na macho yangu na moyo wangu utakuwa humu sikuzote.+
-