2 Mambo ya Nyakati 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba ya Yehova na nyumba yake* mwenyewe,+ Mhubiri 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nilianza kufanya mambo makubwa.+ Nikajijengea nyumba;+ Nikajipandia mashamba ya mizabibu.+