1 Wafalme 6:37, 38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Katika mwaka wa nne, mwezi wa Zivu,* msingi wa nyumba ya Yehova ulijengwa;+ 38 na katika mwaka wa 11, mwezi wa Buli,* (yaani, mwezi wa nane), kila kitu katika nyumba hiyo kilikamilishwa kulingana na ramani yake.+ Basi aliijenga kwa miaka saba. 1 Wafalme 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sulemani alijenga nyumba yake mwenyewe*+ kwa miaka 13, mpaka alipoikamilisha nyumba yake yote.+ 1 Wafalme 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba hizo mbili, yaani, nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme,+
37 Katika mwaka wa nne, mwezi wa Zivu,* msingi wa nyumba ya Yehova ulijengwa;+ 38 na katika mwaka wa 11, mwezi wa Buli,* (yaani, mwezi wa nane), kila kitu katika nyumba hiyo kilikamilishwa kulingana na ramani yake.+ Basi aliijenga kwa miaka saba.
10 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba hizo mbili, yaani, nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme,+