Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Katika mwaka wa nne, mwezi wa Zivu,* msingi wa nyumba ya Yehova ulijengwa;+ 38 na katika mwaka wa 11, mwezi wa Buli,* (yaani, mwezi wa nane), kila kitu katika nyumba hiyo kilikamilishwa kulingana na ramani yake.+ Basi aliijenga kwa miaka saba.

  • 1 Wafalme 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sulemani alijenga nyumba yake mwenyewe*+ kwa miaka 13, mpaka alipoikamilisha nyumba yake yote.+

  • 1 Wafalme 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba hizo mbili, yaani, nyumba ya Yehova na nyumba ya* mfalme,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki