Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:37-7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Katika mwaka wa nne, mwezi wa Zivu,* msingi wa nyumba ya Yehova ulijengwa;+ 38 na katika mwaka wa 11, mwezi wa Buli,* (yaani, mwezi wa nane), kila kitu katika nyumba hiyo kilikamilishwa kulingana na ramani yake.+ Basi aliijenga kwa miaka saba.

      7 Sulemani alijenga nyumba yake mwenyewe*+ kwa miaka 13, mpaka alipoikamilisha nyumba yake yote.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Katika muda wa miaka 20 ambayo Sulemani alijenga nyumba ya Yehova na nyumba yake* mwenyewe,+ 2 Sulemani alijenga upya majiji ambayo Hiramu+ alikuwa amempa, akawapa Waisraeli* waishi humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki